Uchumi, Mipango na Maendeleo

 Majukumu ya Idara ya Uchumi Mipango na Maendeleo ni kulijengea uwezo Kanisa kwa njia ya kusomesha, kutoa mafunzo mbalimbali ya kitaaluma (uwezeshaji) ambapo ndani yake huandaa warsha, semina na makongamano kuhusu changamoto za kijamii na kiuchumi na jinsi ya kukabiliana nazo, Kilimo biashara, utunzaji wa mazingira kwa maendeleo ya kanisa kupitia wafadhiri mbalimbali tunao shirikiana nao.

Jukumu la Msimamizi wa Miradi, Kama jina linavyojielekeza, anawajibika kwa miradi ya Kanisa kuanzia kuanzishwa hadi kumalizika, akihakikisha kwamba kazi inafanywa kwa ufanisi na kuridhisha.


















Ndg. Essau U. Swila - Meneja Miradi KMT-JKM
 Idara ya Uchumi, Mipango  na Maendeleo
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi
S.L.P. 377
Mbeya
Tanzania

Simu: +255 757668022                                                                                          
Barua Pepe:   essauswila@gmail.com
Kiswahili